Return to Index

159

160

Jioni moyo wangu

161
SongInstrumental
	

1. Jioni moyo wangu wakutafuta Bwana, na kukushukuru. Unikazie macho yenye baraka nyingi, ung’aze mwili na roho. 2. Natumaini tena rehema yako Baba hata usiku huu. Fukuza majaribu na hila ya shetani, ukiwa karibu yangu 3. Unanipenda sana, wakaa pamoja nami, wanikaribisha. Unanifurahisha kwa wema wako mwingi, sababu hii nakusifu. 4. Maisha yanapita upesi, ni safari ya kwenda mbinguni. Unifundishe, Bwana, kuelekea kwako: Pazuri ni mbinguni tu.