Return to Index
Song | Instrumental |
|
|
1. Tumesikia mbiu:
Yesu lo! aponya,
Utangazeni kote,
Yesu, lo! aponya.
Tiini amri hiyo;
Nchini na baharini,
Enezeni mbiu hii;
Yesu , lo! Aponya.
2. Imbeni na vitani:
Yesu, lo! Aponya;
Kwa nguvu ya kombozi,
Yesu, lo! Aponya.
Imbeni wenye shida,
Unapoumwa moyo.
Na kaburini imba;
Yesu, lo! Aponya.
3. Mawimbini uenee;
Yesu, lo! Aponya;
Wenye dhambi jueni;
Yesu, lo! Aponya.
Visiwa na viimbe,
Vilindi itikeni,
Na nchi shangilieni;
Yesu, lo! Aponya.
4. Upepo utangaze;
Yesu, lo! Aponya;
Mataifa yashangaaa;
Yesu lo! Aponya.
Milimani, bondeni,
Sauti isikike
Ya wimbo wa ushindi;
Yesu, lo! Aponya.