145 |
146Neno la Mungu takata |
147 |
Song | Instrumental |
1. Neno la Mungu takata Lililotoka mbinguni; Ambalo moto na panga Haziwezi kulishinda. /:Twakushika siku zote Maishani na kufani. :/ 2. Waliotutangulia Waliokutegemea, Wamekufia mashujaa; Nasi tulio watoto. Twakushika … 3. Neno la Mungu takata, Tukushuhudie nasi Kwa neno tamu na tendo Kunako wenzi au adui. Twakushika …