156 |
157Kijito cha utakaso |
158 |
Song | Instrumental |
1. Kijito cha utakaso ni damu ya Yesu, Bwana anao uwezo kunipa wokovu Kijito cha utakaso, Nizame kuoshwa humo Namsifu Bwana kwa hiyo Nimepata utakaso 2. Viumbe vipya naona; damu ina nguvu, imeharibu uovu ulionidhulumu 3. Naondoka kutembea nuruni mwa mbingu, Na moyo safi kabisa kumpendeza Mungu. 4. Ni neema ya ajabu kupakwa na damu; na Bwana Yesu kumjua Yesu wa Msalaba.