1. Nasikia kwitwa
Na sauti yako
Nikasafiwe kwa damu
Ya kwangikwa kwako.
Nimesogea Mtini pako,
Unisafi kwa damu ya kwangikwa kwako.
2. Ni mnuonge kweli,
Umenipa nguvu,
Ulivyonisafi taka,
Ni utimilivu.
3. Yesu hunijuvya;
Mapenzi, imani;
Tumai, amani, radhi,
Hapa na Mbinguni.
4. Huipa imara,
Kazi yake, ndani:
Huongezeka neema,
Ashindwe Shetani.
5. Huishuhudia,
Myoyo ya imani
Ya kuzipata ahadi,
Wakimuamini.
6. Napata wokovu,
Wema na neema;
kwako Bwana nina nguvu
Na haki daima.