Return to Index

39

40

Nasikia kwitwa

41
SongInstrumental
	

1. Nasikia kwitwa Na sauti yako Nikasafiwe kwa damu Ya kwangikwa kwako. Nimesogea Mtini pako, Unisafi kwa damu ya kwangikwa kwako. 2. Ni mnuonge kweli, Umenipa nguvu, Ulivyonisafi taka, Ni utimilivu. 3. Yesu hunijuvya; Mapenzi, imani; Tumai, amani, radhi, Hapa na Mbinguni. 4. Huipa imara, Kazi yake, ndani: Huongezeka neema, Ashindwe Shetani. 5. Huishuhudia, Myoyo ya imani Ya kuzipata ahadi, Wakimuamini. 6. Napata wokovu, Wema na neema; kwako Bwana nina nguvu Na haki daima.